UKWELI TIBA.

Monday, January 30, 2006

nilikwenda bize

SAMAHANINI
Kwani nini nasema hivyo?naomba msamaha kwa kutokuwa nanyi tangia wiki moja hivi iliyopita pasi mawasilano nanyi.Huwa tuna sameheana sisi wa Wana wa Adamu.Ahsante sana.
Nikwenda bizeyaani shughuli zangu za kila siku ilifikia mahali amabpo sukiweza kufanya zote kwa mudawangu wa kawaida;kiasi ambacho hata muda wa mimi kuweza kuandika ninacho fikiri kuwa mdogo sana.Niliweza kufikiri ila kitendo hicho kilikwenda sambamba na kitendo kufanyika....aha aha ndipo nikajua nini hasa maana ya kwenda au kuwa bize.

Kama kawaida niliweza kuhudhuria burudani kadhaa hasa mashindano ya kombe la mataifa ya Africa(Tanzania wakiwa kama Watazamaji wakuu wa mashindano hayo)...Ndio mbona washangaa? Ndio kama watazamaji wakuu wa mashindano hayo kwani Taifa Stars?iko Huko? Naomba jina ilibadilishwe.....sababu ninazo tena nyingi sana sio mimi tu hata wewe moja ni neno taifa Stars..Kwani Kufikiri na kutendo kwao tofauti kabisa.

Wako Bize! na nini?

No comments: