UKWELI TIBA.

Sunday, January 15, 2006

Harusi ya jana

HARUSI YA JANA
Jana nilialikwa harusini.Ongera sana maharusi na wote tuliouzulia harusi .
Kulichanganya sana kinywaji:kulikuwa na Coca cola,fanta nyeupe kama ziitavyo,nyeusi,passion,Sprite,tangawizi na nyingine nyingi.
ambacho kilikuwa kigeni kwangu kwenye harusi hiyo ni dada mmoja ambaya ndani ya muda wa masaa matatu ya sherehe hiyo aliweza kunywa soda 13.
Nasema kitu kigeni kwani sikuwahi ona kabla jambo hilo na huku akiwa na shauku ya kuendelea kunywa lakini bahati nzuri baada ya kula chakula kasi yake ya kuendelea kunywa ilipungua sana.Mimi nikaondoka .
Habari zilizojiri baadaye zilisema mpaka mwisho wa sherehe aliweza kunywa soda 23.
Harusi ya jana

No comments: