UKWELI TIBA.

Friday, January 13, 2006

bhalezee

Sema!unatakiwa husema nini hasa kinachokusibu!Usipo sema nani atajua wewe una tatizo au upedezewi na jambo unalofanyiwa ni mbaya kwako.Sema(waelezee-bhalezee) wajua ni jambo mbaya sana kwako......
Sema kwa vitendo yaani onesha waziwazi kwamba unachosema au unavyosema unamaanaisha hivyo kweli.
Sio ooH oH unajua mimi sitaki jambo hili huku haoneshi kabisa kwa vitendo kwamaba jambo hilo linakukera sana.
BHALEZEE

No comments: