UKWELI TIBA.

Tuesday, July 03, 2007

Marehemu alikuwa.....!

Marehemu alikuwa ni.............Sijui mimi nikifa nitapewa sifa ngapi na zipi?Hata ambao wanaojitambulisha kwa watu kama rafiki zangu kwa sasa niko hai waniambii mimi ni nani hasa?Kwa kuwa watu tumejaa na unafiki!... hata mimi mwenyewe nashindwa kujisemea; mimi hasa ni nani na nina sifa gani? katika jamii yangu....kama ni kibaka,mwongo,mla rushwa(UONEVU;WIZI;UUAJI),MVIVU(Sifundishi kama ni mwalimu na baka wanafunzi wangu,Daktari nabaka wagonjwa wangu,padri/sheikh nafanya uzinzi,ulawiti an uehserati na waumini wangu?) ;nashindwa kusema

Nahitaji fedha kwa sasa lakini hakuna hata mmoja kati yenu anayeniuliza mimi... unahitaji mkopo au fedha ili ......Hakuna!Hata mimi nashindwa kusema nahitaji fedha ili nifanye .........UNAFIKI.

Napenda kutembelea sehemu ambazo ni rahisiwatu kunitambua na kunipa sifa ...jana nilikuwa na fulani;nitembee sehemu zenye matatizo au kwa masikini ili aniombe fedha zangu kidogo nilizonazo....?hata wenye nchi hawawezi fika uko??nani?nani amefika TITYE tangia achaguliwe na fedha zake...?ndio fedha zake...na alipeleke gari lake....ambako barabara mbovu....wewe....

Najitahidi kumkumbusha kila siku Mola wangu ninachohitaji aniwezeshe niwe nacho.....Pia napenda kumwomba hata kifo changu kiwe cha kawaida ili watu wengine wasije pata kasheshe kwamba wao ndio chanzo cha kifo changu.

nakimbiza shilingi kwa umakini wa ajabu ili pia watu hasa rafiki zangu wasije sema jamaa alikuwa ki.....we acha! sisi ndio rafiki zake tulikuwa tunamjua jamaa.Njili alikuwa halali usiku.....wakati wao wako macho?
marehemu alikuwa ........

Amina kifo chako kingeweza kuepukika?AMINI.

No comments: