UKWELI TIBA.

Tuesday, July 18, 2006

WOTE PIGA KOFI

Wote hatuna budi kupiga kofi;kwani dalili za maisha bora kwa kila Mtanzania sasa ni kweli.Umeme,barabara,ajira,na .......hewa safi kwa wote.

Maisha safi.....bila kofi Mtanzania...piga kofi kabla hawaja nunua RADAR,NDEGE NA KUJENGA JUMBA JINGINE LA BUNGE....SOMA THISDAY NEWPAPER LA MWEZI HUU
Piga Kofi Mtanzania....Usijali kama umeshiba ,au mtoto wako hatakwenda kweli shule.....ila kwa hili ondoa hofu shule kila kijiji na walimu bora wapo...

PIGA KOFI....hata kama hospitali ipo lakini hakuna Tabibu wa kutosha na dawa PIAGA KOFI hata kama kilimo cha mkono ni kama urithi wetu(WILAYA NZIMA YA KASULU INA TREKA MOJA LA PLAU)>>>>PIGA KOFI BILA KUSITA PIGAAAAAAAAAAAAAA KOFIIIIIIIII kabla hawajanunuliana magari mengine ya kifahari kwa ajili kupeleka watoto wao...hapana wetu shule......

PIGA KOFI MTANZANIA MWENYE NIA .......Hata kama vijana wetu wanakufa kiakili na kifikra kwa madawa ya kulevya yanayoletwa na Wahusika tusioweza kuwakamata ingawa wapo......

PIGA KOFI HATA KAMA UJUI LEO UMESHIBA KWELI AU LA>>>>>Kwa hili pia ondo shaka hakuna Mtanzania atayekufa kwa njaa ...ili tamkwa awali.

PIGA KOFI >>>>

Tuesday, July 11, 2006

Maisha?


MAISHA?
Maisha ni nini
?na je?thamani yake ni sawa kwa watu wote? hapana?......kweli?...Mimi kwa upande wangu ni ngumu sana kuamua.Wengine wana sema maisha ni kula na kunywa....?Wengine na wanawake....wengine wanajibu maisha ni mbinguni.hawa ni wale Waumini yaani waamini uwepo wa MUNGU WAO!

Maisha ni magumu sana.....maisha POA....na wengine watasema Maisha kwa sasa ni magumu sana.....kwa vigezo mbalimbali kila mtu nafasili yake kuhusu maisha .....lakini ni kweli iko hivyo?
Kaka yangu alfred... nukuu yake ....MAISHA SI MAGUMU KAMA TUNAVYOYAONA NA KUFIKIRIA....NI MAGUMU ZAIDI!!

Zaidi! Kuna watu wanakula maisha yao! Ndio yao! Wao wana kila kitu ...magari mazuri,vyakula vizuri,wanawake wazuri,wanalala pazuri na hata kufa wanakufa vizuri....nukuu ya MUKAMA MAKONGO.
Lakini hata kufikiri wanafikiri vizuri....bado ninatatizwa na MAISHA?
Nitaweza kuonekana kwa kitambo kwenye blogu sababu hasa ni maisha...kwa tafasili isiyo rasmi....!
MAISHA?