UKWELI TIBA.

Monday, October 09, 2006

UTATA?

UTATA?
Safari ya kutoka Kasulu mjini kuelekea Dar es salaam yaanza kupitia Kigoma Mjini kwa usafiri wa Basi,Treni,Basi na Teksi.

Kasulu kwapanda ndani ya basi na kusubiri Wasafiri wengine kwa muda wa masaa wawili kamili kisha gari laanza safari.Polisi ambaye kwa jina maarufu anaitwa Trafiki anatukamata mita 20 tu kutoka kituo cha mabasi hayo na kudai waziwazi chake(RUSHWA).

Gari kwa kweli alisitahili hata kidogo kuwemo barabarani......kuanzia bodi yake na mwishoni mwa safari na gundua hata dreva wake naye hastahili kuwemo ndani ya chombo hicho........NAAMBIWA MUDA WA GENERETA KUPUMZIKA UMEFIKA Baadaye.......

No comments: