UKWELI TIBA.

Thursday, February 02, 2006

NINGE...

jana sio juzi!Ninge....Kamwe hakui kabisa.Maisha yako ukiyafananisha na ya fulani ;basi wewe sio wewe ila ni yeye.Hivyo basi hufai kuishi.Hapana Fulani mwenyewe hasiwe Yule ambaye jamii haimuhitaji kuwa naye!ISIWE FULANI KUWA WEWE!

No comments: